Christina MandeWisdom&Wellness Counselor Kizinga, Dar-es-Salaam Ukimpenda mtu mpende na makandokando yake. Ina maana kuwa unapompenda mtu uwe tayari kupenda mazuri yake pamoja na yale ambayo hayakupendezi. Hali kadhalika, wapende ndugu zake na wa wale wote anaohusiana nao, usibague.
Category Archives: Wisdom&Wellness Talks
HAKUNA NJIA NDEFU ISIYO NA MWISHO
Grace MshangaWisdom&Wellness Supervisor Temeke & Ubungo,Dar-es-Salaam Hii huwafundisha na kuwaweka tayari wanandoa wapya kuwa hata tatizo liwe kubwa na limedumu kwa muda kiasi gani, mwisho wake ni kusamehana na kuishi kwa furaha na amani kama mwanzo.
UNAPOFANYA KAZI NI ADHA TU, MAVUNO YAKIWA TAYARI NI VICHEKO
Grace MshangaWisdom&Wellness Supervisor Temeke & Ubungo,Dar-es-Salaam Katika hali ya kawaida binadamu kufanya kazi ni adha lakini mapato yapatikanapo ni kicheko. Hivyo vijana na wana ndoa wapya huhamasishwa kufanya kazi kwa bidii ili kupata mavuno bora na mengi ili kujitunza wenyewe na familia zao.