Christina MandeWisdom&Wellness Counselor Temeke, Dar-es-Salaam Mtu akifanya kazi kwa bidii ndiye anaye fanikiwa. Kwa mfano mwanafunzi akisoma kwa bidii ndiye anayefaulu vizuri au mkulima akilima kwa bidii ndiye anayepata mavuno mazuri.
Category Archives: Wisdom
MTEMBEZI HULA MIGUU YAKE
Suzan NjanaWisdom&Wellness Counselor Kigamboni, Dar-es-Salaam Mtu mvivu mara nyingi ni mtembezi na anapenda kuishi kutegemea utembezi wake kula chakula atakachobahatika katika matembezi yake.Huyu ni mvivu,hana kazi maalumu na mtegemezi. Ndugu na jamii inayomjua humwita mtembezi hivyo hula miguu yake kwa kubahatisha chakula njiani kwa watu wanaomsaidia Watu wa aina hii wanaweza kubadilika tabia ya uvivuContinue reading “MTEMBEZI HULA MIGUU YAKE”
VUNJA JUNGU HUWA ANA UWOGA, HUJIFUNGIA KUHOFU AKITOKA WATASEMA NI YEYE KAHARIBU
Paulina NgwawasyaWisdom&Wellness Supervisor Ilala & Kinondoni,Dar-es-Salaam Watu waoga huchelewa kujitokeza mbele ya watu kwa hofu kuwa watasingiziwa maovu. Hii huleta madhara makubwa katika jamii.