MAHUSIANO MAZURI YANAYO RUHUSU MAJADILIANO

Mama Sixtha Komba (M&E Officer, TEWWY) atuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na uwanja wa majadiliano hasa kati ya vizazi.

BUSARA ZIANGUKIAZO KWENYE “T” TATU

Mama Sixtha Komba anatueleza juu ya T tatu ambazo unaweza tumia katika kuyakabili matatizo ukutananayo. Akianza na fafanuzi juu ya T tatu. T1 ni Tatizo T2 ni Tatuzi T3 ni Tokeo Mama Sixtha Komba anaendelea kufafanua hizi T tatu katika nyanja mbili, hasi na chanya kwa kutumia mfano wa mwanafunzi aliyefeli mitihani yake na jinsiContinue reading “BUSARA ZIANGUKIAZO KWENYE “T” TATU”

JITAHIDI KUWA NA MARAFIKI WAZURI WENGI LAKINI AMINI WACHACHE WANAOKUFAA

Christina MandeWisdom&Wellness Counselor Kizinga, Dar-es-Salaam Marafiki wazuri watakuunga mkono kwa mambo yote mema unayofanya au unayofikiri kufanya na pia kutokushabikia kufanya maovu. Hawatasita kukuambia ukweli pale utakapofanya au kufikiria kufanya maovu na daima watakuelekeza njia inayofaa.