MAHUSIANO MAZURI YANAYO RUHUSU MAJADILIANO

Mama Sixtha Komba (M&E Officer, TEWWY) atuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na uwanja wa majadiliano hasa kati ya vizazi.

Wazazi na walezi wanahitaji kuweka mahusiano mazuri yanayo ruhusu majadiliano kati ya mzazi na mtoto ili kuhamasisha maamuzi yenye mwafaka, kwa mfano: uchaguzi wa shule, kozi, mchepuo wa masomo, kazi, mke na kadhalika. Kuwa na mazungumzo ya wazi yamsaidia mtoto azingatie hilo swala maana naye alikua sehemu ya mjadala pia. Hii usaidia kupunguza migogoro katika familia na jamii kwa ujumla na uhimiza utendaji wa moyo msafi.


Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

%d bloggers like this: