CHAKULA KIIVAPO WATOTO HUWA WANAKIZUNGUKA HARAKA, LAKINI WAKATI WA KAZI HUTOA SABABU NYINGI

Grace Mshanga
Wisdom&Wellness supervisor

Temeke & Ubungo, Dar-es-Salaam

Watoto wana kawaida kuwa chakula kinapokuwa tayari huzunguka haraka na kuanza kula lakini wakipewa kazi hufanya kwa kinyonge. Hit ni kuwafundisha watoto kuwa wakiwa katika umri mdogo waanze kujifunza kufanya kazi ndogondogo mfano, kuosha vyombo na kufagia sio kungoja chakula tu.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

%d bloggers like this: