NIAMBIE RAFIKI ZAKO NI NANI, NAMI NITAKUAMBIA WEWE NI NANI

Rustica Tembele
Founder & CEO

Maana yake, watu wakijua marafiki unaofuatana nao wanaweza wakajua wewe ni mtu wa aina gani kutokana na tabia za wale rafiki zako, mathalani, kama wana tabia mbaya basi na wewe hautakuwa tofauti nao, vile vile wakiwa na tabia nzuri basi na wewe utafanana nao.

Msemo huu unaweza kutumika pale mtu anapokuwa na tabia zisizotabirika, anapenda kuigaiga na kufanya vitu visivyo vya kawaida. Kwa vile unashindwa kumjua vizuri basi unaweza kumwambia akuambie marafiki zake ni nani ili ujue ni kundi gani unaweza kumuweka.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

%d bloggers like this: