VUNJA JUNGU HUWA ANA UWOGA, HUJIFUNGIA KUHOFU AKITOKA WATASEMA NI YEYE KAHARIBU

Paulina NgwawasyaWisdom&Wellness Supervisor Ilala & Kinondoni,Dar-es-Salaam Watu waoga huchelewa kujitokeza mbele ya watu kwa hofu kuwa watasingiziwa maovu. Hii huleta madhara makubwa katika jamii.